Monday, June 21, 2010

UNAZIJUWA SIKU ZA KUBEBA MIMBA?

mzima Rose? tunashukuru kwa kutuelimisha. mi naomba kujua jinsi ya kushika mimba especially mtoto wa kike. Mi nimeanza period tarehe 17 Juni, 2010 je siku zipi ni vema za kushika mimba. ubarikiwe

kwa mimi najuwa siku kumi kwanzia siku ya hedhi ni safi yani hata kama ukifanya mapenzi siku hizo huwezi kukamata mimba na baada ya hapo siku kumi zinazofwata ni mbaya siku hizo unaweza kukamata ujauzito na baada ya siku hizo mbaya kumi nyengine zote ni safi hata kama ukifanya mapenzi huwezi kukamata ujauzito...
hii ni njia niitumiayo mimi je wasomaji mana smawazo mengine?
ROSEMARY MIZIZI..



7 comments:

  1. Samahani kama nitakuwa nimekosea. Kwa ninavyofahamu mimi inategemea na mzunguko wako wa hedhi. Mf. kama mzunguko wako ni siku 28 basi ina maana itakapofika siku ya 10 - 16 waweza kupata ujauzito, wengine hata aiku ya 17 pia. Ila kwa wewe unaetaka mtoto wa kike siku ya 15 itakuwa ni nzuri kwako.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Nakama ni siku 38, siku za hatari ni zipi?

      Delete
    2. Kama mzunguko wa mwanamke ni siku 26 je ni siku ipi sahihi yakupata ujauzito?Ahsante.

      Delete
  2. Hi da rose, mwenzio nasumbuliwa na tatizo la kutokushika mimba, tarehe zangu ni 31 mpaka 31 nyingine je zipi siku zangu sahihi?

    ReplyDelete
  3. Mambo da rose, mm ninatatizo la kutoshika mimba ingawa doctor amesema sina tatizo lolote,
    yan nimejaribu kufanya siku za hatari lakin bado cijafanikiwa ciku zangu ni tareh5

    ReplyDelete
  4. Mim naitwa lightness tar zangu za kupata hedhi ni 7 kila mwezi na mara ya mwisho kupata hedhi ni tar 10 mwaka jana, hiv karibuni nimepima nikawa nina ujauzito je unaweza kuwa ni wa miezi mingapi???

    ReplyDelete
  5. hi frnds mm naitwa rahma naomba kujua 15 ndio naingia priod je mm mwezi wangu ni mlefu au mfupi na siku ya mimba ni lini?

    ReplyDelete