Tuesday, August 6, 2013

MSAADA PLEASE.....

 baba mzazi wa mtoto huyo, Mustapha Makombe alisema: “Mwanangu anateseka sana jamani, ugonjwa ulianza kama malengelenge akiwa na umri wa mwaka mmoja tukawa tunakwenda hospitali ndogondogo lakini baadaye tukaamua kumpeleka Muhimbili ambapo tulipewa barua ya kutuelekeza kwenda CCBRT,

kule ndipo wakagundua mwanangu ana kansa ya ngozi steji ya nne.Baada ya kuhangaika katika hospitali nyingi bila mafanikio, nikaamua kwenda Hospitali ya Regency (Dar) kuomba msaada wa kwenda kutibiwa India.


“Pale waliniambia nichangie shilingi milioni moja na laki tano kwa ajili ya tiketi na viza ili mwanangu akatibiwe India, hizo hela mimi sina. Naomba Watanzania mnisaidie hata kwa fedha za mitandao kwa namba 0769 517765, ili kumpeleka India kwa matibabu

MUNGU WA MBINGUNI AWAGUSE.. KUTOA NI MOYO.. TOA CHOCHOTE ULICHONACHO..... KITAMSAIDIA SNA HUYU BABA.. HATA TUKISEMA TUOE ELFU MOJA MOJA, JAMAN ITAMSAIDIA.... UWIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII NAHISI KUCHANGANYIKIWA