Tuesday, August 13, 2013

ARUSHA,ARUSHA,ARUSHA...

Wakowapi mashoga zangu wa Arusha jamani narudi tena kufunda arusha niliwaahidi nitarudi natimiza ahadi yangu nitakuja mwezi wa kumi MUNGU akipenda nitawajuza hotel na tarehe siku zijazo kwa jinsi nilivyowasoma siku zile wanawake wa Arusha bado mnakazi sana kuna mambo mengi sana bado mnayahitaji sasa basi wakati huu nikija nitafaya tofauti wanawake wote mnaohitaji kufundwa nitawafunda private ndio tutakutana hotel fulani chumbani miye na somo yangu tutakuwepo kuwapa darasa tutakaa siku tano kwa ajili yenu hii ni ya kiutu uzima zaidi utafurahi..nachukuwa order za watu wanaokuja kufundwa kwanzia sasa na ninakupangia siku yako na muda kama kawaida yetu kiingilio ni 30000/= na bidhaa zote tunazotumia kufundia zitakuwepo hii sio ya kukosa kwa kuweka nafasi yako nipigie 0717 019320 natumaini hata wa Moshi pia na sehemu za jirani mtaweza kuhudhuria, usimuache wifi yako, shoga yako na yule jirani yako......

Karibuni sana 

0 comments:

Post a Comment