Wednesday, July 17, 2013

Hehe heiya....

mmmhhh umbea huu ila mwanamke kusutwa sunna bibi inahusu...

Haya jamani katika mazungumzo na wanawake wengi nimegundua tunatatizo katika swala la sita kwa sita sijui na wewe hili linakupata ila wengi hatutafuti suluhisho basi tunakuta tu unampa mwanaume ili mradi amalize yeye usitafute sababu ya kuachwa..shoga inahusu

Jamani mzunguko ni kitu ambacho wote wawili mnatakiwa kufurahia, sio mmoja unafurahia mzunguko wa kwanza halafu wapili na watatu unanuna, au tena kwama mwanaume ndio kakuweka style ambayo hakuoni uso basi unaukunja kama umelaba ndimu..inahusu

Wanawake wengi jamani uke wao ni mkavu, wao wengi hufurahia mzunguko wa kwanza tu ndio ukiandaliwa basi unaloa vizuri na kuenjoy lakini kwanzia mzunguko wa pili wengi wanakuwa wakavu sana yani tena wengine mpaka wakimaliza mzunguko wanakuwa wamechubuka kwa sababu ya ule ukavu..pole

Ila hiyo sio tatizo tena kwani dawa yake ni mafuta ya mchai chai ndio ukiipata hii yani wewe utakuwa ndio wa kwanza kuomba mzunguko maana wanaume ngoja niwaambie kuna wanawake yani ukimuomba mzunguko anataka mpaka kufa maana akiangalia bwana wa haja anahimili mzunguko muda mrefu akifikiria ule ukavu wa uke basi anaona kama adhabu..

Jinsi ya kutumia na muda nitakuelekeza ukiinunua ila ni shs 10,000/= tu unapata chupa yako nipigie 0717 019320

Inahusu nini unichoshe mtoto wa mwanaume mwenzio mzunguko wote tutoke droo pasu kwa pasu...hahahahaha