Hakuna kitu kigumu maishani kama kufiwa na mtu wako wa karibu haswa mume...nimesikitika sana kwa maneno ya mwisho Khadija aliyomwambia mume wake alimwambia hivi:
“Mume wangu, sintasahau ulivyokuwa ukinisistiza kujiendeleza katika masomo ya kumuabudu Mungu pia nakumbuka ulivyokuwa ukiniambia mara kwa mara kama umenikosea nikusamehe.
“Mume wangu sikumbuki kama ulinikosea na hata kama ulinikosea nimekusamehe nakuomba nawe kama nilikukosea unisamehe, naahidi kukupenda siku zote za maisha yangu.”
Picture na Maneno ya Khadija Source: Global Publishers
0 comments:
Post a Comment