Unashangaa ndio au ulidhani lishe ni kwa mtoto tu, hahaha hapana kuna lishe ya baba na mama ili mnapotumia vyakula hivi mpate nguvu ya kujiweka sawa.
Katika mafundo ya 7/7/2013 wanawake mtafundishwa vyakula mbalimbali ambavyo haitakiwi wiki ipite wewe hujapika nyumbani kwako, huwasaidia wewe na mumeo katika afya na mzunguko unajuwa ni vyakula gani basi usikose siku hiyo..
0 comments:
Post a Comment