Monday, June 17, 2013

Matumizi ya sindano na sabuni...

Nikiwaambia mafundo ya wanawake walio kwenye ndoa ni ya kiutuuzima zaidi nadhani mnaelewa na wote watakaokuja naamini ni watu wazima katika kufundwa kwangu na somo yangu Bi Rehema alinifunda kuchezea nyonga yangu na kujuwa kuumiliki mwili wangu na nakumbuka alikuwa mkali kweli siku hiyo.

Alinifanyaje siku aliniwekea sabuni na juu akaipachika sindano akaniambia nilale kwa mgongo halafu.......................................................................


Ukitaka kujuwa yaliyoendelea usikose 7/7/2013 Majestic Hall Sinza kwa Remmy kwa kiingilio 30,000/= kwanzia saa 5:00 asubuhi mpaka 12:00Jioni utaonyeshwa hilo na mengine mengi..

Na kumbukeni kutakuwa na kungwi mwanaume pia siku hiyo, sio shoga ni mwanaume hodari mwenye mke na watoto atakuchambulia penzi mpaka uisome JuneJuly kwa siku moja

0 comments:

Post a Comment