Ni palepale Majestic Hall sinza kwa Remmy, kwa kiingilio cha 30,000/= kwanzia saa tano asubuhi mpaka kumi na mbili jioni unafundwa tu mtoto wa kike na kukata nyonga ukitoka hapo uko fresh, tepetepe upya kwa matunzo mapya...haloooo
Pic from: Mashughuli Blog








0 comments:
Post a Comment