Monday, May 13, 2013

Msaada Tutani

 dada Rose please ipost hapa & kwenye blog yako , weka wazi ID yangu.
Hello waungwana. Jamani mie nina tatizo, naombeni ushauri & mawazo yenu, naamini naweza pata tiba ya tatizo langu kutoka kwenu.

Mimi ni mwanaume, miaka 25, naishi DAR. Ninapofanya SEX CHATTING na demu, uume wangu husimama kama kawaida tena kwa haraka sana. Ila ninapokuwa na demu kitandani kufanya REAL SEX, uume unasimama kwa shida mno na haukazi sawa sawa (inasimama kwa ulegevu), wakati mwingne huwa haisimami kabsa na nikigusa tu uke nakojoa apo apo fasta sana. Nikichat sex nasimamisha, lakini kwenye kitendo halisi nasimamisha kwa tabu sana ata mwanamke akae uchi mbele yangu. Na ninapoanza tu kuvaa Kondom ndo inalala kabsaaa kwa haraka sana!! Ni miezi 6 sasa nina tatizo hili.

Nisaidieni ndugu zangu, naaibika sana jamani. Now kila mwanamke ananikimbia, dah!



Natanguliza shukrani!

3 comments:

  1. pile sana kaka yangu ila mara nyingine hiyo sex chat inakuharibia pia kwasababu huwa unasimamisha mda mrefu bila kukutana na mwanamke hivyo unaichosha misuli yako na pia unakua unajiafect kisaikolojia na ndomaana huwa haiwezekani ukiwa kwenye real game so jaribu kuachana sex chat kwasababu mda na pia kamuone daktari huenda pia unaupungufu wa damu pia
    pole sana!!

    ReplyDelete
  2. Wacha Uzinzi wewe, haukusadii kitu! tafuta mke uoe na utibu tatizo lako!

    ReplyDelete
  3. unapo kua una do mwambie dm wako akutie vidole mkunduni,

    ReplyDelete