Thursday, April 11, 2013

Hatareeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Shoga usafi wa mwili wako unaujuwa ama unadhani kuoga tu ndio kutakata halooooooooooooo shoga mwanamke mwili wake una njia za kuusafisha kwanzia juu mpaka chini mbele hadi nyuma na sio wako tu hata wa mumeo/mchumba wako unajuwa jinsi ya kuusafisha kona zake unazijuwa unatumia nini unajuwa shoga halooooooooooooo ndoa sio nywele kila mtu anazo na kumtunza mtoto wa mwanamke mwenzio sio kazi ndogo wengi wameshindwa kazi inahitaji ujuzi tena usome kila siku na pia uwe mbunifu..

Hayo yote utayajuwa hiyo siku ya kufundwa...ya nini nimwage mchele kwenye kuku wengi ukapata faida kwa jasho la mtu mwengine ukitaka kujuwa ndio uje maana kwenye kufunda hatupigi picha wala hatumwagi mada humu tunaendelea na mda zetu za kawaida kuhusu mahusiano humu usitegemee nitakuandikia tuliyofundwa humu..akuuu ukitaka kuyajuwa lipia nafasi yako ukajionee mwenyewe

2 comments:

  1. Jamani Rose mbona sie wa mikoani imetutenga? Unakuja lini arusha

    ReplyDelete
  2. Hahahahaha umenichekesha shoga mbona arusha tulikuja mwezi wa pili MUNGU akipenda nitakuja tena mamii nitawataarifu

    ReplyDelete