Tuesday, April 2, 2013

Hatareeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Hatareeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee wapi wenye nyonga na makalio yao shoga unaweza ukawa unamakalio makubwa miye ambaye sina nikakutoa nishai kwenye nyonga lakini shoga kuna watu wanamakalio yao na nyonga wanaziweza rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mwanamke kujiamini na kujipenda kama unayo yatumie kila style zipo hehe heiya...

Umeshalipia nafasi yako huku ni kufundwa na kuonyeshwa miujuzi hapohapo hakuna hadithi sisi humu kazi tu ni palepale majestiz hall sinza kwa remmy 26/4/2013 kwa kiingilio 30,000/= unapewa na sare ya dera lako haloooooooooooooo babu tuheshimiane kulipia mlangoni no tunataka wanawake wanaojitambua na kujilipia mwanzo kabisa kama wewe unaiga mkumbo tu haikufai......

Shoha hili somo la watu wazima hatutaki watoto ukaja kupofuka macho na masikio ukaniletea kesi inahusu babu kuuchezea mtaani uuchezee weye kesi uniletee miye...hehe heiya

Madera yanayoyoma jamani wahi lako mapema


0 comments:

Post a Comment