Wednesday, February 27, 2013

Maneno ya Mume kwa mkewe hayo...raha ya ndoa mume kujuwa kumsifu mkewe..hehe heiya

Kanichanganya habibi kanidatisha sweety kanipagawisha azizi..kila saa yupo sopusopu ang'aa sura na yake shepu anavyovaa wengi humsifu mtoto mashalaah mola kamrudhuku vitu hadimu ndio kaniona nimeshabukiwa kwake sina fahamu.

kwa starehe na raha hujachacha kwa fulani,ndio maana nina siha jema sana mwilini mbwembwe na madaha tukiingia ngomani nimedata si mzaha kwake hoi taabani, ni kubwa furaha isio kifani mtoto anaraha nyingi tamu kama nini..haloooooooooooooooooooooooo

ni nyota ya jaha kanitunuku manani, si hasara nzi kufa kidondani wala si duni nyuki kufa asilini jamani tamu jamani raha kwake amenigonesha na starehe kwake nastareheshwa..hehe heiya

kwake sio siri mwenzenu nimepagawa udi na uthuri ndivyo vilivyonichengua kwake navinjari ladha yakusisimua vilivyojaa na kachori vyote nimetamkiwa...

hapo saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hehe hiya......wapi wenye nyonga zao chezea maneno ya mume weye, hahahaha

KIDUKUUUUUUUUUUUUU hahahaha hapo nyonga, nyumaaaaaaaaaaaaa hatareeeeeeeeeeeeeeeee



0 comments:

Post a Comment