Wednesday, January 16, 2013

Mzunguko na Uchafu wake.....

Leo nataka niongelee mzunguko na uchafu wake, kuna watu wake kwa waume jamani na uzuri wao na utozi wao na kujisikia kwao sijui wanataka kuleta usharobaro kitandani heeee jamani inahusu nini ulivyo nje unavyoonekana nje ndio uulete ndani, kufanya hivi hutaki, vile hutaki eti hupendi jamani sasa unataka nini???

Mzunguko kama mzunguko lazima kwanza uwe mbunifu na ujiachie ujipe raha na uhakikishe unapata na kusikia raha sio unafanya tu ilimradi na wewe ujione umep........ ujisifie unajuwa kufanya hivyo hapana. na sio kila mwanaume anaweza mzunguko usijione unaingia nakutoka ukaona unajuwa kama ndio hivyo hata kuku wanajuwa maana anaingia dakika zake mbili katoka.

Jamani mzunguko lazima ukubali kujiachia ukubali na uchafu unaokuja nao ni dhambi na nivibaya na hairuhusiwi kutoa nyuma, lakini tujuwe kuna watu wengine bila kutoa nyuma wao hawajamliza mzunguko mimi ninarafiki yangu ananiambia yani bila kutoa huko kijana hujafanya lolote na pia kuna wanaume ambao wanapenda sana na wanakula sana mlango wa pili na kama unajuwa wewe unapenda huko lazima ukubali na hali utakayoikuta huko, kama utanyonya unyonye kwa raha na heshima na kama ukiingia vitakavyotoka na uume wako huko pia uukubali kwa raha ya penzi sio mnaanza maneno mpaka kukatisha mzunguko.

Wanawake wengi bado hawajui kujisafisha vizuri japo tunafundisha kila kukicha kuhusu kusafisha ukeni kuna mwanaume aliniambia kwamba yeye anampenda sana mwanamke wake lakini kila wakiwa katika mzunguko akiingia tu akitoka utazani uume ulitumbukizwa kwenye glass ya maziwa ya mtindi!!!!!!! ule uchafu unaotoka nao akitaka kumnyonya akiwa anamuweka sawa yani mwanamke ananuka na katika uke kote kuna ugando mweupe!!!!jamani wanawake hii ni aibu ndio maana tunawapa yale mafuta ya ndimu yakujisafisha najuwa wengi waliyoyatumia wameona faida zake kama bado njoo na wewe upate yako.

Kuwa muwazi na msafi katika mzunguko kama unataka mwanamke au mwanaume wako akuandae kwa kukunyonya ukeni au umeni mwambie tatizo sisi tunajiona kama tutaonekana malaya, kila mwanamke ni malaya tokea siku ya kwanza alipozaliwa sasa wewe kama unaogopa kuonekana malaya shauri yako, mwambie bwana mimi nataka uninyonye hii tabia ya kuingizwa bila kuandaliwa sitaki tena unamuangalia kabisa usone kumuonyesha msisitizo.

Wanaume wanatabia moja ambayo sijawahi kuipenda na najuwa labda kuna wanawake wengi pia hawaipendi wanaume mnatabia ya kuingiza wanawake vidule ukeni!!!!!! hiyo ndio nini sasa halafu ili iweje sawa nakubali kuna wanawake wanapenda na kusisimka wakiingizwa vidole ukeni lakini wengi najuwa hawapendi lakini hii tabia ni kwanini inamaana mwanaume unashindwa kumlainisha kwa njia nyengine ama hii inatumika kwa mwanamke tu uliyekutana naye mara ya kwanza au vipi????

Nivyema basi mkajuwa njia nzuri za kumuandaa mwenzako na kufanya wote wawili mkapata raha katika mzunguko na aibu muache jamani kama unajijuwa unaaibu kinachokupeleka kuvuliwa nguo ni nini?? haya na wewe mwenye mchumba na mke pia mnaoneana aibu....juwa mwili wako na uupende na kuupa raha wakati wote.

0 comments:

Post a Comment