Tuesday, January 15, 2013

Jamani kuna watu hawajui maana halisi ya kusinga, kusinga ni kusafisha mwili ung'ae kutumia vitu vya asili na kusafisha mwili unaweza kusafisha wako mwenyewe ama wa mume/mpenzi wako ndio tunafundisha siku hiyo vitu hivyo vitakavyotumika vya asili havichubui wala havina chemicals yani mwili unatakata sana hata mimi natumia na tofauti mume wangu na wengine wanaziona nawashauri kama unajipenda kwa dhati ukaribie siku hiyo naamini utafurahia.

0 comments:

Post a Comment