Tuesday, January 29, 2013

Kibao changu cha kiuno changu...

Hehe heiya chezea kibao cha mbuzi weye, mwanamke lazima uwe nacho shoga kama unaolewa hujaletewa hiki simamisha shughuli ulize hii ni haki yako..maana yake unaijuwa acha miye niishie hapo leo na mwezi wa nne MUNGU akipenda nafunda kwa mara ya kwanza kutokea nchini na wanaume na kama kawaida yetu mambo vilevile kwa uwazi na wenye nyonga zao pia watazikata wale wacheza shoo ndio kabisa hawakosi na kibao kata nawawekea sasa hivi.

Mshindwe wenyewe

0 comments:

Post a Comment