Sunday, December 9, 2012

Kama ni tamu naupenda, Kama ni ladha nailamba.....

Shoga sasa mafuta mengine muhimu ya chumbani ni mafuta ya mchaichai..ndio machaichai huohuo tunaopikia kwenye chai zetu kutupa ladha sasa mafuta yake ndio muhimu shoga.

Mafuta ya mchaichai yanasaidia kuleta nyege..ndio jamani kunawanawake wengine yani kupata hamu ya kwenda mzunguko ni ishu kubwa sana na hii jamani sio kawaida maana MUNGU aliumba liletendo liwe tamu yani tamu zaidi ya asali sasa kama wewe huna hamu nalo basi ujuwe unamatatizo ama kama wewe mpaka upewe mzunguko kijana wa watu afanye shughuli kubwa basi ni matatizo kisa cha kumnyima raha mtoto wa mwanamke mwenziyo nini nini kijana mpaka akifikiria kukupa mzunguko akabebe chuma kutengeneza pumzi inahusu.

Shoga chukuwa hii utachukuwa mafuta yako ya mchaichai kwa siku utakunywa kidogo tu mara tatu na kama ukiamua kupaka pia upake chini ukeni kidogo tu jamani kama wewe huna mwanume wa kueleweka tusipeane lawama ukaja pata nyege na kuparamia waume za watu raha ya hii kitu unywe siku kama ya ijumaa au jumamosi asubuhi upo ndani na mwenzako unamkatikia mpaka mwenyewe anachanganyikiwa utaona mtu anatetemeka tu kwa maraha kama anadegedege..hehe heiya chezea miye weye.

Jamani kama unahitaji na haya mafuta nipigie 10,000/= 

Namshukuru MUNGU tumemaliza salama kufunda kwa mwaka huu kwa wana wa dar tukutane tena 26/4/2013 MUNGU akipenda mimi kungwi wangu wawili na kungwi mpya tutamleta kujifunza mengi tena jamani huyu kungwi mgeni anamambo namjuwa miye kwasababu kashanifunda nafanya naye kazi yani jamani mimi ninamakungwi nikianza kuwapanga wanafika morogoro lakini haya yote ili mimi na wewe siku zote tuwe juu katika mahusiano yetu.




1 comments:

  1. Mchaichai unaitwaje kwa English please coz wengine hatupo hapo

    ReplyDelete