Sunday, December 9, 2012

Hehe heiya chezea vitunguu swaumu weye...

Haya sasa mashoga wote mliokuja kufundwa nadhani mnakumbuka mlivyofundwa vyema kuhusu mafuta ya vitunguu swaumu..

Unaambiwa mwanamke unavyokuwa kabla ya kutolewa bikra unakuwa unanyama ukeni ambazo zinakuwa zimekaza uke ambapo mwanamme akiingia anasikia raha za ajabu lakini pindi pale mwanamke unapoanza kukutana na kujaamiana mara kwa mara zile nyama kwasababu ya msuguo zinakuwa zinaisha na hata kwa kuzaa pia pale tunapokuwa tunzaa watoto mara kwa mara haswa kwa njia hii ya kusukuma pia zile nyama zinakuwa zinasinyaa na kuisha kabisa.

Asilimia kubwa ya kila mwanamke kwanzia umri wa miaka 22 ambaye yupo katika uhusiano wa muda mrefu na mpenziye na mpaka kwenye ndoa hawana hizi nyama kutokana na mizunguko ya mara kwa mara na baadaye kuzaa, sasa wewe utakuta mtu kwa usiku mmoja anenda mara tatu au mara mbili ukifanya hivyo kwa wiki mara mbili kwa mwezi je na mwaka????? na ukizaa ndio kabisa ndio maana nimepata malamiko yawanawake wengi sana kwamba tokea wamezaa wanahisi wamekuwa wawazi ukeni na waume zao hawapati raha kabisa wanapofanya mzunguko hiyo ndio sababu kuu..

Utafanyaje kama mafuta ya ndimu utatumia mafuta ya vitunguu saumu ukeni lakini kumbukeni jamani kama unatumia mafuta ya kitunguu swaumu usichanganye na mengine basi kwasababu ushajuwa matumizi mchana upake hii usiku ile hapana usije jiletea matatizo baadaye kama unataka kukaza ukeni tumia mafuta haya ya vitunguu swaumu acha hayo mengine na kama wewe unaona uke umekaza unataka kusafisha tumia mafuta ya ndimu tu acha mengine.

Narudia USICHANGANYE mafuta mawili kwa siku moja ukeni.....

Ukitaka mafuta haya nipigie ni  10,000/=

0 comments:

Post a Comment