Sunday, December 9, 2012

Chezea mafuta ya ndimu weye..

Jamani wanawake woote mliofika siku ya kufundwa hongereni sana yani manajuwa na kujiamini kwamba nyie ni wanawake na mnatakiwa muwaje kuwa ng'aring'ari siku zote na hayo ndio maisha mwanamke ujipe raha mwenyewe bwana mengine yote yatafata baadaye.

Wliokuja ijumaa wanakumbuka walifundwa kuhusu mafuta na matumizi yake chumbani kulikuwa na mafuta ya kila aina leo nitaweka mafuta matatu tu na ndio mwisho kwa yeyote anayetaka kujuwa basi asubiri tukifunda tena ndio aje asidandie gurudumu la wenzao.

Mafuta ya ndimu katika mwili wa mwanamke husaidia kuusafisha uke na kutoa bacteria zote zilizopo mule, namaanisha nini wanawake sisi huwa ukeni kunapitia mambo mengi sana ukiacha uume tuna bleed, huwa tunajifukiza huko, tunatumia sijui madawa gani ya kuoshea huko yani vurugu kibao na haswa haya madawa tunayonawia huko huwa yanamadhara sana ndio maana mimi na kungwi wangu tunashauri kutumia vitu vy aasili ambavyo havina chemical.

Mafuta ya ndimu ni mazuri sana katika kusafishia huko ukeni utafanyaje ukishamaliza kuoga na kutawaza ukeni utachukuwa gozi utovye katika yale mafuta yako ya ndimu na kulitumbukiza gozi ukeni ukisafisha taratibu katika kila kuta uhakikishe umesafisha vizuri kabisa toa gozi lako usinawe kwa maji vaa chupi yako endelea na kazi zako mpaka jioni ukiwa unaoga ndio upasafishe ulale ukiwa fresh baada ya kuoga jioni usipake tena kitu chochote kile lala hivyohivyo.

Endelea kutumia mafuta ya ndimu mara kwa mara utaona kama utalalamika mambo ya UTI na madhara mengine ya ukeni. kwa anayetaka mafuta haya anipigie simu chupa ni 10,000/= kwa waliokuja kufundwa waliuziwa kwa nusu bei ndio maana nashauri sana tukiwa tunafunda wanawake mjitokeze jamani na muwe waangalifu kwasababu nimeanza kufunda basi kila mtu nasikia na yeye anataka kufunda kuweni makini na mnapopeleka hela zenu na mtakachopata.


0 comments:

Post a Comment