Tuesday, December 4, 2012

Hehe heiya chezea siye...

Unaambiwa MUNGU aliumba kufanya mzunguko starehe kwa kila binadamu sasa basi kwanini ulalamike unaumia, husikii raha, huna hamu ya kwenda mzunguko au ukienda wa kwanza hutaki kabisa kurudia!!!!! baassiii tatizo lako sasa limefikia mwisho tukutane ijumaa 7/12/2012 utafundwa cha kufanya na kupewa mafuta ya asili kwa kujirutubisha shoga ukikutana na mpenzi basi mambo ng'aring'ari utakuja kutuambia hapa.lipia nafasi yako sasa tumebaki na kesho tu..

0 comments:

Post a Comment