Friday, November 16, 2012

Hehe heiya...

Shoga weekend ndio hiyoooo na siku yetu ndio inazidi kukaribia umeshalipia nafasi yako haya kwa mwenye kutaka kulipia weekend ama siku yoyte nipigie tu simu tutakutana nikupe kikoi chako..Mwanamke Nyonga siunaona mwenyewe ilivyotulia lakini...halooooo unaambiwa mchina katengeneza vingi feki kashindwa NYONGA.

Hakuna aliyezaliwa anajuwa kunyonga ndio maana siye tunafundwa na kufundishwa haya shoga zamu yako ndio hiyo ikikupita subiria mwakani MUNGU akipenda..njoo tuvunje jungu lakumaliza mwaka.

0 comments:

Post a Comment