Friday, April 22, 2011

MAPENZI YA JINSIA MOJA....




najuwa nikiongelea mapenzi ya jinsia moja inashangaza lakini kuikweli hatuwezi kukataa haya mambo yapo na wengi wetu kama hatujayasikia basi tutakuwa tumeyaona kama kwa mtu tunayemfahamu, kwenye mtandao ama hata kwenye runinga.....


jamani hii ni laana kubwa tena naikemea katika kwa jina la YESU, lakini najiuliza kwa wale wenzangu wanaofanya kitendo hichi, je inakuwaje mpaka mtu anakuwa hivi ni kwa kupenda ama shinikizo????


kuna dada mmoja yeye anasema hajawahi kulala na mwanaume akamridhisha na kumfanya amrudie tena, ameshabadilisha wanaume wengi lakini hamna hata aliyemfikisha ama kumkuna haswaa siku akaamua kuchoka na wanaume na kujaribu penzi la mwanamke mwenzake anasema yani yule dada alimkuna mpaka akashangaa, mapenzi aliyoyapata kwa yule dada hakutegemea lakini akaamini ya kwamba kwavile yule ni mwanamke mwenzake basi alijuwa sana sehemu za kumshika mwanamke mwenzake ili afike kileleni sio kwa tabu bali kwa maraha...Duh


kwa upande wangu mwanaume namchukulia ni mtu muhimu sana katika maisha yangu, namtegemea yeye anilinde na kunihudumia kwa kila kitu haswa katika mapenzi, inasikitisha kuona mwanaume anainamishwa na kupindwa kama mwanamke, jamani hata ladha hamna kuona dume zima limepindwa kengele zake zinaenda nyuma na mbele zikiendeshwa na mwanaume mwenzake...Aibu


ukiamua kuwa shoga ama msagaji hiyo ni juu yako na anayekuongoza katika maisha yako, sina mamlaka yeyote ya kumkataza kitu mtu ambacho hakinihusu lakini juu ya yote nataka tuwe na tufanye kinachompendeza MUNGU na kinacho kupendeza mwenyewe maisha ni mafupi haya usije ukafa ukajutia hukuishi maisha utakayo.....




4 comments:

  1. kwa kweli hata mie hushngaa sana,mie kusema ukweli nafira mkundu wa mwanamke ni mtamuu haswaa,lkn sitaweza wala kujaribu kumuingizia mboo yangu mkunduni wa mwanaume hata siku moja.mboo yangu ni kwa mademu tuu.

    ReplyDelete
  2. dada rose nasikia wanaume wa na kipele g mkunduni ni kweli?nasikia hussikia utamu kama siye tunavyousikia kumani,nasikia anasikia raha sana mwanaume akiingiliwa mkunduni,sasa ni hatari kama wanaume wanasikia utamu kwa kufanywa huko.aibuu

    ReplyDelete
  3. Kuna nchi nayoishi (Uholanzi) yaani wamehalalisha. Hupaswi hata ku comment. Kuna foreigner alicoment tu wakamfukuza kazi na alikuwa promintent professor wa asili ya palestine. Yaani nasikia kichefuchefu. Sijuhi ni kweli wazungu wanapenda hiyo njia maana nasikia watu wanawasema vibaya kuwa hata wanaooa wanawake wanawageuza. Inawezekana ni maneno ila mwenzangu huku ushoga na ulesbian ndio mahala pake. Hawamjuhi Mungu Kabisa!

    ReplyDelete
  4. EZEKIELI sura ya 7 hadi 11

    ReplyDelete