Sunday, October 20, 2013

kweli kabisa....

Kutokusamehe kumesababisha ndoa nyingi kuwa za majuto na mahangaiko ya moyo. Na ni ngumu pale mtu anapokosea na kutokujali kama amemuumiza mwenziwe na pale ambapo mtu anarudia jambo lile lile kila mara. Upendo wa kweli hauhesabu mabaya na hivyo tuombe Mungu atupe upendo wa kweli kwa wenzi wetu na roho ya msamaha pamoja na ya kuwa tayari kuomba msamaha pale unapomkosea mwenzio.

Imeandikwa na: Woman of Christ

0 comments:

Post a Comment