Monday, October 28, 2013

Hahaha mume anameno anauma hayo ni maneno ya Bi Khadija Kopa....tunajua ndio kila mke utamuuma anapojua mumewe anamwanamke nje na nyie wanaume inahusu nini kujiachia na hawara mpaka unaitelekeza familia yako...

KUNA MDADA AMENIANDIKIA HII STORY NA KUNIAMBIA NIITOE HUMU WENYE NDOA ZENU MJIFUNZE...


Nlishatembeaga na mume wa mtu na kuitelekeza familia kisa ni mambo ya kipumbavu km hayo
kipind nmemaliza chuo natafta kazi bac kuna kk angu m1 ni afisa wanyama wa pori akaniita niende liwale naweza jipatia ht ka kazi huko poa mtt wa kike nikaanza safar from Msh 2 mtwara nkafika bro akanpokea vzr hatar bro mwnywe ni msela afu mtu wa bataaa hatar,bac akantambulisha kwa wakubwa wenzie pale mara mkuu wa mkoa wilaya rpc na wengne wnye vyeo na hadh yake na akawatangazia klichonipeleka na wakaahid kuwa nac bega2


Bac shoga angu nkafika pale acha watu wapagawe na mm ni hichi kitako changu mara bby face heheheiyaaaa ckuwa namtaka mtu pale coz mazingra hayakuruhusu na pia bro alikuwa mtata na alijua wale wanazinguka na mm na hakuwahi kunipa time hata sec 1ya kuongea na mtu nkitaka kwnda kokote napelekwa na dereva pia nakua na house girl ni mdada mtu mzima na tukienda bar mimi hapa yeye pale bac watu wakawa wameshazoea yale mazingira wakapumzika yapo walikuwa wananinyemelea basi shoga angu tutaishi hivyo kwa miezi

Bas ikatokea bro akasafiri kikazi na akanipa sheria za home kwake na akamkabidhi boss mwenzake mmoja aniangalie k, mdg wk endapo ntapata tatzo lolote bro akiwa safarin anisaidie,bac kaka wa watu alikuwa mstaarabu sana na alikuwa ameoa na watoto basi tukakaa muda yule kaka ananiambia nikitaka kitu nisiogope kumwambia bas nikawe free nikaish km kk angu akiwepo,ss cku moja mke wa yule kaka nae akasafir kwnda Dar kumpeleka mtt hosp muhimbili alikuwa na matatzo ya macho na kumwacha bwan nyumbani

Bas kaka wa watu km kawaida yke kila cku pakikicha lazma aje kutujulia hali pale nyumban na kuna kipindi alikuwa anataka anitoe kula bata km kawaida yao alivokwepo bro nkawa sitak wakamwambia bro mbona mdg wko tukimwambia tutoke anakataa bro akaniambia sio vzr mbona nikiwepo unatoka bac nkawa natoka siku moja moja na wala hawakuwa wakinitongoza nadhan bro aliwapa onyo wakawa wananiogopa,bas shoga angu cku ya cku kuna mtu akampa maneno yule mwanamke wa jamaa kwamba ajiangalie vzr na mumewe

Bac shoga angu dada akapanic akampigia kaka angu akamwambia nasikia mdg wko huko kijijin anatembea na mume wangu bro akapanic akaniendea hewani niliumia sana nikapanic nikachukia sana nkamwambia bro anipe nauli nirudi tuu home,kaka wa watu hakuna wa kumwambia coz yeyee ni mtu mkubwa afisa wanyama pori kanda ya kusini na msaidiz wake ni kaka angu so maneno ya kitaani hawez kuwa anayajua,kitaani pakapamba moto nkaamua kumwambia jamaaa alishangaa sana na alishtushwa sana ila akawa hana jinsi coz hajaambiwa

Bac akawa ananiuliza km nna nauli maana ningeweza kusafirishwa kinyemela na akanipa namba yake ss tukawa tunachat,kila nikiwasikiana nae nafuta namba na msg nafuta,bac mara bro huyo karudi kaniuliza nkwamwadithia na yeye akaniambia maneno aliyoambiwa wote tukasikitika sana na akaniambia tayar lile eneo sio salama kwa mm kuishi pale coz yule mwanamke alikuwa na mashoga zake wananiandama sana basi shoga angu ikatokea kuna mmke wa mwenzao anatakiwa kuletwa Dar bac na mm ndipo hapo ikatakiwa nirudishwe moshi

Mawasiliano na yule baba yakanoga akawa ananipa hela anakuja mpk home anaweka hela kwny maua afu ananiabia ni kopo lipi,cku moja kabla cjaondoka bro akachukua cm yngu kwa kushtukiza ili aangalie km nna mawasiliani na jamaa akakuta holla kila akinitega mtego anakuta holla bac akanyanyua mikono juu, bas kabla mm sijaondoka jamaa akaitwa Dar na maboss wa ngazi za juu wakat huo mkeo kesharud tupo nae pale kitaa basi jamaa akaniachia km laki 2 ukijumlisha za zile alizokuwa akinipa nipa zikawa km lak 4

Plus za zile zilizokuwa napewa matumizi na bro kwa kweli nikawa na hela zangu karibu laki nane na nusu,basi shoga yule mwanaume akanipa mbinu za kuzificha ili cku ntakayoondoka wasizisachi wakazikuta kweli nkafanya hivyo na mambo yakawa kwel siku wananisachi hawakunikuta na hela nyingi walinikuta na 20 bac bro akaniongezea 40 ili ziwe 60 za nauli basi nlivosachiwa nkaziweka hela zangu kwny skin tight tukaanza safar to Dar na yule jamaa tayar alikuwa huku ndio ujinga walioufanya


Tukapanda gar la ofsn kwa bro tukiwa na bro na watu wengne wa pale kitaani bas bro akanifikisha mpk sehemu fulan near Dar akarud 
shoga me nkapanda coaster mpk mbagala mwisho shoga angu nkamkuta yule mwanaume pale tukachukua tax haoooo to Belinda hotel shoga angu ndio maisha ya mapenz me na yule mwanaume yakaanzia hapo pendanaje ss!! kumbe na yeye alikuwa kanizimikia hatar hatukujali cha maradhi wala nn ponda raha mtt kula raha ponda raha mtt kula raha maisha yakawa maisha


Km mwez mzima hvyo tujifungia tuu ndan mkewe anapiga cm tunakata mara tunazima mara vituko tuu,bac tutaenda mwanaume akawa anatakiwa aenda japan kikaz kwa mwez mmoja akafanya taratbu zake akafanikiwa hataki kuniache je ataendaje bila mimi?? mara akaanza taratibu za kuntaftia visa badae akachemka coz muda wake wa kutakiwa kule ulikuwa umefika basi akaniacha pale Belinda nikakaa kwa mwez 1,shoga sijapataga raha za duniani km kwa yule kaka kwnz ni mtam hatar afu anayajua mapenz hela anazo na ni mtoaji

Yaani maisha yakawa maisha nkabaki bongo kwa mwez mzima jamaa akarud na mavitu kibao yote yalibaki kwangu kwaraha nilizokuwa nampa tulikaa tena hapa Dar kwa miezi mitatu ikafika kipind mkewe akipiga cm mwanaume ananiambia pokea mwambie unachojisikia ananiambia naomba niongee na baba lili namwambia ww sema ntamfikishia mara anatuma msg watoto wanakula ugali na maharage ya chumvi kila cku mwanaume anamjibu kwahyo aache kufanya kaz aje akae nao awaangalie,bac yule dada akawa anapata majibu ya shombo

Anayapata kwangu na kwa mumewe pia na mumewe akamwambia ulimzulia dada wa watu katembea na mm wakat hata kutongozwa hakutongozwa ss mwache ale raha weeee dada wa watu ni kuliaaaa hatar talaka anaitaka je ataondokaje pale hata akipewa talaka na kwa akili zangu za kipindi kile waiiii sikumjali nilisema apewe tuu niolewe zangu,dada akaanza kutafuta namba zangu ili aniombe msamaha akafanikiwa kipata kutoka kwa mke wa mboo akawa ananiambia maneno ya kimungu mungu lkn wap uliniumiza sana

Shoga tulienjoy maisha na yule kaka hamna mfano na akaomba ahamishiwe hapa Dar hatak tena kule liwale wakamkatalia ndio kisa cha yule bwana kurudi kule la sivyo angebak dar na mambo yangekuwa mengine,ss ikawe kila w'end naenda kule tunakula raha zetu dada ananiomba masamaha mpk akapanga wifi angu ampeleke kwa wazazi ili wanibembeleze nimwachie mungu wake maana mwanaume alikuwa anaongea na mm maneno ya kimahaba mbele zake dada akajua mwanaume keshakolezwa akawa hana jinsi

Na tulikuja kuwa tunapendana dunia nzima bac ule umbali wake ndio ukaanza taratibu kumpoteza moyoni na tayar nlikuwa msichana mabwana wanaonitaka wengi lkn niliinjoy mno na yule jamaa kisa kukurupuka kwa mkewe anamsingizia mtu anatembea na mumewe bila ushahidi kisa mashoga zake walikuwa wanampa sapot na mbona alivyokuwa anakula maharage na ugali kila cku pakikucha anaenda kuokota kuni mbona walikuwa hawamsaidii,alijutaje!


FUNZO:usimtuhumu mtu kutembea na mumeo wakat huna uhakika umesikia tuu watu wanasema wengine wanafanya kweli chezea watoto wa mujini,heheheiiiiiyaaaa...
*******ZE END*******

0 comments:

Post a Comment