Thursday, September 5, 2013

Hahahaha Nimeikuta sehemu....

Nasikitisha na kushangaza,unakutana na Msichana wa miaka 28-30 anakwambia tangu aanze Mapenzi akiwa na Miaka 19 hakuna Mwanaume yoyote amewahi kumfikisha kileleni...Imagine,anafanya Mapenzi miaka karibu 10 lakini anatumika yeye tu...Amekuwa Sugu sasa na kilele pekee anachokijua ni cha Mlima Kilimanjaro,amekata tamaa kama kuna kitu kama hicho duniani.. Ukikutana na mwanamke wa namna hii ili umridhishe inapaswa kwanza uende Gym,ule Siagi na jibini,dozi ya karanga na supu ya pweza wiki 2 umkeshee kisawasawa..Lakini unapaswa pia kumfanyia Counselling ili aamini tena kwamba kilele sio Kibo na Mawenzi tu...inataka Moyo...WANAUME:Msiwafanyie hivyo Wasichana,wapeni dozi inayostahili,ukipewa chezo kamua haswa,sio unakurupuka tu hueleweki unachofanya ni nini Robo saa unakoroma..Huo sio uanaume..Uanaume kazi..Mnatupa shida tunakuja kuoa Wanawake wamekomaa,hata utumie Mwiko kilele hakionekani hata kwa darubini... Ukipewa Kazi itendee haki kazi...Kama hujui kukuna nazi waachie wakwezi...Girls wanapata shida sana,halafu we mtaani unajitamba kumbe huna lolote.

0 comments:

Post a Comment