Thursday, August 1, 2013

Mtenda akitendwa.....

   WANAUME bwana yani mtendwa akitendwa....yani mwanaume yeye ndio atoke nje ya ndoa ukitoka wewe unauliwa huyu baba amemuua mke wake baada ya kujuwa mkewe anamahusiano nje ya ndoa yao kisha na yeye kujiua wameacha mtoto wa miaka 3 .....R.I.P