Monday, June 24, 2013

Dada Rose, nashukuru sana kwa kutufunza mambo mengi sana kwenye blog yako kwakweli kama mimi mwenyewe binafsi ninafaidika na mengi sana. Nilikuwa naombi moja dada yangu kuhusu hiyo siku uliyoandaa ya kufunda wanawake walioolewa dada sisi wengine tunakaribia kuolewa soon tulikuwa tunaomba kuja kuudhuria nasi tupate kujuwa yaliyomo kwenye ndoa maana hujaandaa siku ya wanawake wenye wachumba.

Naomba ulifikirie hilo dada usitunyime maujuzi hayo ya ndoa

Laila