
Na wanaume pia muwaambie wake zenu/wachumba/na mademu zenu pia waje wapate maujuzi 30,000/= tu shoga anapewa dera akilivaa tu anakumbukia yote aliyofundwa ni tarehe 26/4/2013 Majestic Hall sinza kwa remmmy
Aliyesema mzunguko adhabu nani bila maujuzi utauona adhabu lakini ukijijuwa shoga wewe muda wowote jamaa akitaka mechi unampa number..hehe heiya chezea waswahili siye.
0 comments:
Post a Comment