Tuesday, March 12, 2013

Size Inahusika...

Leo nataka niongee na wanawake kuhusu size za uume wanaume zao, kwanza kabisa kuna wanawake wanatabia moja hivi anauwezo wa kuwa na mwanaume kwasababu tu anampa hela na kumtimizia mahitaji yake yote lakini hamduu vizuri halafu nje anakuwa na mwanaume ambaye anamduu mpaka anasikia kuchanganyikiwa yani anaridhika na kufurahia manjonjo ya huyo mwanaume.

Kuna wanawake wengine ambao hawataki kabisa kuchuma tunda na wanaume zao mpaka watakapoolewa yani hata sura kuiona hawataki jamani hii sio sawa na siwaambii mkachume tunda hapana, basi ione hata sura kwani ni dhambi si mwanaume wako huyo matatizo yanakuja pale hujaijuwa ni size gani anakuoa halafu ukifika kwenye ndoa unaanza kujutia mwanaume mwenyewe hata hanifikishi, sijui mboo yake ndogo, fupi, nyembamba ndio nataka nikuambie uke wa mwanamke ni kama rubber band inatanuka na kila size ya mboo inayoingia lakini pia ni lazima ujuwe ni size gani inakufikisha kileleni sio ujiendee tu kama gari bovu.

Na ifike wakati baada ya wewe kujijuwa napenda size fulani na ukagundua mwanaume wako sio wa size hiyo na hawezi kutumia size yake vizuri ni bora mkaachana kuliko baadaye ukaenda kwenye ndoa ukaanza kutapatapa kama mfamaji huko na kule ukamletea mtoto wa watu magonjwa maana bora upewe cancer ya kizazi utakitoa huo ukimwi utautoaje???

Na kwako mwanaume mwanamke akikuambia size yako ni ndogo na unahitaji kuufanyia kazi sio ndio umuache ama umtukane malaya hee kwani raha usikie mwenyewe tu inahusu kama ndio hivyo basi mngeumbiwa na sehemu ya kumalizia shida zenu wenyewe bila ya mwanamke lakini  MUNGU aliumba hiyo sehemu itumbukie kwa mwanamke iwape raha na mfurahie sasa inahusu nini uwe unaridhika wewe tu mwenzio umuumize tumbo kwa kujazwa minyege..Inahusu

Tatizo watu wanadhani yule jamaa nikimwambia anifanyie hivi ama yeye afanye hivi ili nifike kileleni ataniona mimi malaya ataniacha shoga kwani akikuacha wewe si kuna wengine kwani mwanaume yupo peke yake wameshushwa kwa vitabu hao A-Z unafanya kuchaguwa tu anayekufaa, aku mwenzangu mzunguko ni raha tena raha ya ajabu kama wewe unafanyia utumwa shoga shauri yako, wacha wenzio wajifaidie kwa raha na tuzidi kunenepa maana naona tunanenepa kwa shahawa..hehe heiya

 


0 comments:

Post a Comment