
Lakini kwako mwanamke unajuwa faida za kula muhogo ama shoga ndio mpaka uwe na hamu umuambie mpenzi muende coco ukale hapana unatakiwa usiukose kabisa ndani kwako na sio lazima mpenzi wako ajuwe unampa muhogo kunanjia nyingi sana za kuuweka muhogo bila yeye kujuwa ila ukawa unamsaidia mengi tu ikija kwenye afya yake.
Na ninajuwa wanawake wengi hawajui muhogo unatibu nini, watautengenezaje maana tiba yake ni nzuri muhogo ukiwa mbichi na sio wa kupika sasa kama wewe mwanamke unataka kujuwa unatibu nini na jinsi gani utampa mpenzi wako bila yeye kujuwa kama haupendi kula mbichi utampaje...
Usikose 26/4/2013 katika mafundo lipia nafasi yako mapemaaaaa
0 comments:
Post a Comment