Thursday, December 13, 2012

Mwanamke tepetepe.....

 Jamani wanawake na kama wewe mwanaume unasoma hapa mweleze kabisa mkeo au huyo mchumba wako uliyenaye jitie fundi saa kukorokochoa kila tundu ukamueleza mke wa mtu akafanya haya ukamletea balaa kwenye ndoa yake maana mimi siwapendi nyie mnaojifanya mnakula wake za watu halafu mnajifanya mafundi hodari eti kuliko mumewe mbafu kabisa unadhani unaubavu wa kumuachanisha na mumewe shida tu na maumivu ya moyo ndio yamemfanya atoke nje ya ndoa ngoja mumewe aanze matunzo mema uone kama kwako atarudi...Anyways ngoja nirudi kwenye point.

Wewe mwanamke kungu unazijuwa??? hata kusikia pia hujawahi sikia makubwa basi kama hujazisikia shoga hii dunia sikuhizi nyengine mwanamke lazima uwe wa kileo haswa kwenye mambo ya chumbani juzi katika kufunda tukawafunda kwamba kuna wanaume wanakata viuno chumbani mnabaki mnashangaa unashangaa nini kwani umesikia shoga yule hapana raha hizo kijana anapata mpaka anajikuta na yeye anakufwata kwenye pindo zako ukienda kulia na yeye yumo kushoto yumo basi ilimradi wote mfurahie....tuachane na hilo

Mwanamke kungu ni muhimu sana, na sio ndio ule kila siku kwasababu ndio umelijuwa, kungu unaila siku moja kama unajuwa kabisa siku hiyo wewe na mumeo mpo pamoja siku nzima yani hatoki kabisa au hata kama atatoka atarudi mapema kungu inakusaidia macho mtoto yanarembuka yanakuwa nyoronyoro sio mtoto wa watu kila siku unamtolea mimacho mikavu kama umebanwa na mlango wewe mtoto wa kike jicho limekutoka kama ngumi ya mtoto mchanga..Inahusu 

Kungu pia inasaidia kulegeza viungo yani unakuwa mtoto mwepesi unajisikia kabisa baada ya muda fulani ukishakula na chamuhimu wanawake kungu zinaleta hamu ya mzunguko, ndio ukila zile baasi unapata hamu ya kwenda mzunguko mtoto unakuwa tepetepe baba akija wala hatumii muda mrefu kukuandaa maana kuna wanawake wengine mwanaume akikuhadithia unataka kulia mwanaume kukuandaa mpaka atokwe jasho inahusu...kama ulikuwa hulijui chukua hilo 

Japo kungu inakauchungu fulani hivi ndio maana watu wanaitengenezea na kitu kingine kama kashata, kama uji mliokuja kufundwa mwezi wa kumi mlipata kunywa uji wa kungu nadhani mliufurahia nitautengeneza tena MUNGU akipenda wakati mwengine.

Sasa shoga mimi kungu ninazo za pakti na zimechanganywa na maziwa yani kungu ya maziwa..miye napenda ladha bwana na ya maziwa ndio zaidi basi shoga kama unataka hizi kungu za maziwa nipigie unitafute nikupe 3,000/= yako tu number yangu hiyo hapo juu..

Na mambo yakuniambia upo mjini unataka nikuletee kungu moja koma..sitaki kabisa kama mnachukuwa nyingi ndio nitakuja kama hiyo moja unifwate nikupe..

0 comments:

Post a Comment