Wednesday, November 14, 2012

Hehe heiya...

 Mliokuwepo mwezi wa kumi tulivyofunda mara ya kwanza mnakumbuka mauno...hehe heiya style zile mnaziona humo?????

Haya sasa tukutane tena katika darasa la watu wazima 7/12/2012 kama ile ilikurusha roho inayokuja itakubwaga roho..hehe heiya ushalipia nafasi yako siku zimeishaaaaaa

Mwanamke NYONGA, mwanamke CHUMBANI....umenisoma??? shaurilo

Umeona kikoi kinavyotumika lipia upewe chako mapemaaaaaaa..hapa kazi tu maneno kwenu

1 comments: