Wednesday, October 24, 2012

SOMO..

Wanawake wengine sijui wakoje na tabia za ajabu mwanamke bwana akiona amekataliwa basi lazima ataanza visingizio kibao kumkashifu mwanaume inahusu!!! kama hakutaki si akutaki jamani kubaliana nayo uondoke ukatafute mwengine sasa matusi ya kuhusu yeye ya nini halafu tusi kubwa la wanawake utasikia mwanaume mwenyewe uume mdogo kama kidole changu cha mwisho ukikohoa inatoka..Inahusu

Wanawake nataka muelewe kitu hii tabia muacha, uke wa mwanamke ni kama rubber band inatanuka kwa size tofauti ukikutana na tango utapanuka kama tango, ukikutana na carrot utapanuka kama carrot, ukikutana na pencil utapanuka kama pencil kwahiyo ni jukumu lako kama mwanamke kujuwa ufanyaje ama upindwe vipi ufikishwe kileleni na uenjoy kufanya mapenzi na mwanaume uliyenaye.

Halafu tabia zenu pia za kusema utazunguka mabucha yote nyama ileile kakudanganya nani kwani kwani wewe hujui kama kuna nyama, kuna mbavu, kuna maini, kuna steki kwahiyo nyama ni tofauti leo ukijisikia kula hiki unakula kesho kile unakula chamuhimu mwanamke na mwanaume ni vyema ukawa mbunifu katika mapenzi na mwenzako kwasababu usipompa wewe ujuwe atapewa pengine tu.

Mwanamke lazima ujiamini na mwanamke anayejiamini siku zote huwekwa ndani usiwe kama mpira wa kona kugombaniwa na mabwana kila kukichwa unatumiwa unaliwa na kuachwa unakuwa kama ndala thamani yako chooni chumbani unavuliwa nje, yani mwanaume mpaka awe na shida ya mzunguko ndio akufwate bila hivyo unawekwa pembeni..inauma sana

1 comments:

  1. hapo chacha wapashe wapashika mba wanakera cna!

    ReplyDelete