Monday, October 22, 2012

Pipi ulijuwa ya kumumunya tu...

 Hehe heiya jamani kwa wale mliokosa jana poleni najuwa labda ni majukumu ya hapa na pale ama wengine mpo mbali na wengine pia hela tu zilibana lakini naamini MUNGU akipenda mtajumuika nasi tena wakati mwengine nitajaribu kuwaekea somo mbili tatu za jana muelewe na nyie zaidi.

Katika somo la jana tulifundishwa matumizi mengine ya pipi haswa hizi za kifua, unaambiwa pipi za kifua bibi ni dawa ya mume ya kumpa raha, sasa wewe kujifanya pipi za watoto tu shoga yangu hapa mjini kuna habari mpya shoga ile pipi ni muhimu isikose nyumbani kwako.

Ukiwa mwenye hamu kwamba unataka siku hiyo ukutane na mwenzio shoga nenda kaoge, jitawaze vizuri maana siunaelewa mwanamke unaringa nje ukifunuliwa chini unanuka shombo kaa samaki...hehe heiya ndio siye babu tulivyooumbwa na kujisafisha tunaweza..chezea siye

Wakati unajiandaa, utaoga ujitawaze vizuri sana huko kwa bibi halafu ukishakuwa umejifuta unajiandaa sasa kwenda kitandani ili ukachume tunda chutama vizuri miguu ikiwa umeitanua tia ile pipi yako ya kifua ukeni , kaa muda kidogo muite mzee akupe maraha tena ukimsihi kwa mahaba mpenzi leo huku bwana..basi kijana wa watu huku anakupa maraha huku anapata raha yake ya mdomo kwa ule utamu wa pipi walahi atanyonya mpaka iishe basi wee mpaka amelize utamu wa pipi ushafika kileleni mara ngapi sijui..hehe heiya

Eeenhee aka mwenzangu mapenzi kila mtu aone utamu sio yeye anyonye tu huko, apige chafya ukimletea pumu mtoto wa watu inahusu, raha anyonye kusafi, kunanukia na kutamu.


4 comments:

  1. mmhh me mgen wa haya mambo jamani em nijuzen vzr haiwezi kupitiliza? hujafafanua vzr bwana tuelekezane ili wote tufaidi

    ReplyDelete
  2. Usiisokomeze yote mpaka ndani unaweka nusu tu ili ainonye na aione ili atakapoinyonya na kukunyonya wewe atakapoona umefika kileleni ataitoa siompaka aimelize yote hiyo nikumpa tu ladha ya utamu sio ya mkojo au shombo..

    ReplyDelete
  3. asante kwa kureply nmekupata

    ReplyDelete
  4. Hapo chacha kazi kweli kweli,mbona mambo????????????sasa hakiikuta awez kukushangaa?au ukiwa wa weka muwe wote au aweke mwenyewe?mna wanaume wetu nao mda mwingne mhhh!

    ReplyDelete