Monday, October 29, 2012

Msaada Tutani..

Natarajia hujambo

Nimeona blog yako in nzuri na inatuelimisha na kututoa viujinga fulani ambavyo hatuvijuwi au hatuvielewi asante sana kwa blog yako
mimi naomba uniweeke swali langu hili kwenye blog yako nipate maoni ya wana blog wako.

 
mimi in mke wa mtu nimeolea kwa muda mrefu sasa nna watoto nashukuru mungu na mimi na mume wangu tunapendana tunashukuru mungu, ila nnaajmbo linaniumiza sana kichwa nalo mume wangu akiniingilia mimi sipati kukojoa huwa nasikia rahara sana lakini kabla sijakojoa yeye anakuwa kashamaliza kabla ya mimi, kiasi kwamba saa nyingine natamani ningekuwa na mwanaume nje apate kunikojoza tu lakini kwa tabia yangu nikitu ambacho siwezi kukifanya. Sasa Swali langu in hili nataka kujua jinsi gani mwanamke anaweza kijifanyia mastarbation mwenyewe mpaka akakojoa na swali la pili je hiyo mastabation inamadhara yoyote na kama inayo niyapi ntashukuru kama utaniwekea hii habari yangu kwenye blog yako ili nipate majibu pia ntashukuru kama wewe mwenyewe binafsni utanipa ushauri juu ya swala hili, lakini naomba usiweke email address yangu kwenye blog.



Thanks in advance



Mwana blog

1 comments:

  1. Dada pole sana hilo tatizo tunalo wanandoa wengi tu la kutufanya kutamani kuwa na mwanaumume mwingine nje wa kukutomba ukakojoa lakini kwa sababu ya kujiheshimu huwa tunaishia kutamani tu na ni jambo la busara.

    ili kutatuwa tatizo jaribu kama ni muisilam au dini nyingine yoyote ile jaribu sana kujishughulisha na mambo ya dini yatakupelekea kupunguza mawazo ya shetani.

    Pili jaribu kuujuwa mwili wako mwenyewe hasa sehemu za siri wapi ukishikwa au kuchezewa utakojoa bila ya kutombwa kwa itakusaidia kumuambia mwizio akufanye nini ili na wewe upate ke starehe mwambie nini unataka akufanyie na muambie kuwa unamaliza haraka kabla yako anaweza kubadilika.
    Na mwisho kama atafanya yote hayo na bado basi jaribu kutafuta muda peke yako ndani ya nyumba wakati uliyotulia hakuna hodi hodi watoto watafutie mahali hata kwenda kushinda kwa bibi ili uapte siku yako mwenyewe ukiipata hiyo siku hakikisha unakoga vizuri na kili yako ielekeze kwenye mambo ya kutombwa jitie manukato vizuri kaa chumbani kwako uchi anza kijichezea kidogo kidogo chezea kinembe chako sehemu ya kwenye ncha wakati huo utakuwa umeshaanza kutoka ulenda huko chini tumia huo ulenda kujipakaza huko chini matokeo yake utayaon usipokojoa basi umgonjwa kamuone daktari.

    ReplyDelete