Tuesday, August 23, 2011

MPENZI ANATAKA MIMI NAOGOPA.....

dada Rose,

kuna mada moja ulishawahi kuandika kuhusu mwanaume anataka kumla mpenziye nyuma na huyu dada hataki na watu wakamshauri asimpe.

kasheshe hilo limenikuta mimi na kinachonichanganya nahisi kwasababu siwezi basi wanaoweza watanisaidia, mwanamke wangu naona uhusiano wake wa nyuma alikuwa na mtu anayemla nyuma, kwahiyo baada ya kukutana na mimi akawa ananivutia muda ili anieleze maana tuna kama miezi mitano hivi sasa na tukikutana huwa tunafanya tu mapenzi ya kawaida.


cha kunishangaza juzi kaniambia anataka tujaribu nyuma, nikawa kama nimesikia vibaya nikamuuliza unasemaje ama nimesikia vibaya akarudia tena bila kusita, nilishangaa sana.


nikamwambia siwezi na wala sijawahi, na ni dhambi akaniambia kama huwezi basi atafanya anayeweza, maana nahitaji (kweli amenishangaza)..


japo bado tupo pamoja lakini hili jambo linaniumiza kichwa sana maana sasa naona kama nitakuwa naibiwa maana siwezi kumpa na anahitaji si atatoka nje na haya magonjwa..


nilikuwa tu nasikia kuna wanawake bila kula nyuma hawajamaliza mapenzi sikuamini mpaka nilipokutana na huyu.


naogopa





4 comments:

  1. achana na huyo malaya. tena ucjaribu kula nyuma. ni dhambi na itakuletea madhara cku za usoni kama kuziba njia ya mkojo.

    ReplyDelete
  2. hee we bwege kweli,sasa kama hutaki si uache tuuu,sasa nani akusaidie?kama huyo demu anafirana mpe email yangu hii nimpe haki yake.sio ndio zetu hizo.may_wet@yahoo.com.mie mfiraji mzuri wa wanawake.ma shoga no,only girls

    ReplyDelete
  3. kaka yangu pole hizi nisiku za mwisho ukubali usikubali haya mambo kwa siku za nyuma ilikuwa hamna na hata kama ilikuwako ni kwa siri sana lakini sasa naona wanaharamu wanataka kufanya fashen hii ni laana iliyo kuu kafanya mapenzi kinyume na maumbile ni dhambi sana licha ya madhara ni mengi sana usikubaliane naye maana yeye kukuambia hivyo anajua tu utakubali kwakuwa unampenda naanajua udhaifu wa mwanaume mbele ya mwanamke kwamba ukishampenda basi kila kitu anachotaka yeye lazima ukitekeleze kwanza nakupongeza kwakukataa hiyo laana na pia kwakuja hapa kuomba ushauri umefanya vizuri sana maana kama ni wengine wangeona ni simple tu wangefanya sintarehe ya dakika moja isije ikakusababishia matatizo maisha yako yote kwanza natakakukuambia huyu dada kama umeshatembea naye nenda kapime afya yako maana watu wanaofanya kinyume na maumbile wengi wao wana maradhi ya ukimwi hiyo nakupa ukweli kaka yangu usije ukapoteza malemngo yako yote kwa ajili ya mwanamke ambaye hajieshimu na hajui maana ya ukimwi unaomaliza watu ni hayo nakushauri kama utafuata ushauri wangu

    ReplyDelete
  4. kaka hata kama suala la dhambi halikuingii akilini, manake watu watakwambia kwani dhambi umefanyaq ngapi, hebu fikiria afya yako, huko nyuma yanatoka mavi ati, jamani sasa uingize nanihii yako akati kuna uwazi huko mbele....uwiiii hadi mwili unanisisimuka

    ReplyDelete