Wednesday, May 27, 2015

AM BACK.....

 AM BACK BABY..... yeeeeuuwww nawasalimu wote kwa jina la MUNGU wetu aliye juu, natumaini wewe na familia yako nyumbani ni wazima na MUNGU wetu amezidi kua mwaminifu kwenu na kuendelea kuwapa baraka zake tele juu yenu, mimi na familia yangu hatujambo tunamshukuru kwakua amekua na anaendelea kua mwema tunazidi kumuona akitutendea miujiza mikubwa sana kwetu, na kila ninavyoendelea kumshangaa MUNGU ananiambia bado sijamaliza na wewe maana nikimaliza na wewe kila mtu atajua ya kwamba mimi ni MUNGU wako
Nimekua busy sana na projects nyingi zangu zitakazokuja, nakuombea uhai na afya njema ufurahie pamoja nasi japo nina mambo mengi sana naendelea kufanya nje na hapa sasa nimerudi kuendelea na hii baraka yangu ambayo MUNGU alinipa kabla

0 comments:

Post a Comment