Monday, December 3, 2012

TBC Oyeee....karibu kundini Grace

                                         Julius Kihampa na mkewe Grace Kingalame.


 Desemba 29, mwaka huu familia ya Grace iliangusha shughuli ya kumuaga (send off) mtangazaji huyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Mwenge Social, Dar es Salaam.

Cheers kwa maisha marefu ya ndoa, na yenye kujaa furaha na upendo wa kweli na MUNGU awabariki na kuwajazia meza yenu na izungukwe na watoto wakiume na wakike mfurahie maisha yenu kwa pamoja.

0 comments:

Post a Comment