Thursday, September 9, 2010

HII NI KWA WAMBEA MNAOPENDA KUINGILIA NDOA ZA WATU NA MANENO YENU YA SUMU....

naomba dua ya kheri inshallah salama ndani ya pendo letu waliotutakia ya shari wasituvunjie mapenzi yetu hawapendi kuiona meli yetu ikielea hawapendi kutuona sisi bado tunaendelea kwake nipo kama bubu kusema chochote siwezi, kwasababu ananitibu kwa yangu yote maradh i nikinuna ananichekesha, nikipanda yeye anishusha, nikilia ananibembeleza....
wapambe mhangaike na mzidi kuropoka, moyoni mnun'gunike mkituona tunatoka, nimechoka na maneno mliyokwisha kuropoka na sitamuacha n'go kwa mapanga na mashoka anavyojuwa mapenzi nimuache nipate tabu, anavyojuwa kuenzi siwachi kula zabibu hehehe
nawashangaa walimwengu na chokochoko zenu kumuacha mpenzi wangu kwa maneno yenu labda nirudi kwa Mungu ama yeye atangulie, anajuwa kupenda nimuache kafanya nini?
ndio maana siwajali wanaokuja na maneno, nawapuuzia mbali pendo ni letu mfano kugharamia sijali moja hani laki tano nawaonyesha mfano.
wewe ndoa huna kutwa kuweka sumu kwa wenye nayo wagombane inahusu, message utakuwa umeipata japo kimoyo tena hilo mwanzo endelea kuchokonoa utajuwa kama maharage mboga ama kiungio cha kande unadhani ndoa mchezo mpaka uwe na vigezo sie tunavyo tulio kuwa nayo wewe kichupe unavigezo vya kugombanisha watu hehehehehehe..
utabanana na nani hata siku moja genge halizidi soko shosti hukujuwa? tulichukuwa wiki kuolewa wewe umekaa miaka kumi hamna anayekuona utanitisha kwa lipi? DIVAS mmesikia wadada wenye ndoa zenu na wame zenu vinyamkere vyamjini vitawatisha? jaque, irene, connie, Amanda Jigge, Tina na Betty mpo hapo?

0 comments:

Post a Comment