Saturday, May 22, 2010

UNARINGA UNANINI.........

jamani hivi kunawanawake wengine wana matatizo sana, huko mjini Leicester kuna dada mmoja hivi anaitwa vumi anapenda sana kujitapa na mwanaume wake, eti anasema wanawake wanamtaka huyo bwanake.. juzi tu umeenda kumsingizia mpaka khadija(shoga yangu kipenzi) kwamba anamtaka bwanaako sasa leo naomba nikutolee uvivu hivi wewe unaringa unanini amahuyo mwanaume wako unyemringia ananini haswa kwenda kujitapa mpaka London kwa kina leyla aunt yake khadija kwamba unachukuliwa bwana kama unampenda sana siumfunge kamba utembee nae kila kona uendapo? mbona mwanaume mwenyewe hafungiki akija kwako anajifanya mwema mbona juzi tu alikuwa anajigonga kwa khadija pale club afrique katikati ya london......

ndugu yangu wenzako wamekuchoka na ushamba wako, kwanza huna lolote hata nusu hujafika bado unachezea robo na tabia zako za kishamba ziache hukohuko usione wanakuchekea ukadhani unaogopwa...

UK nzima inakujua wewe kwa ushamba uliokuganda, nenda kwanza kajifunze kuupara, oga vizuri toa jasho fua na chupi yako itakate halafu ndio utafute ugomvi na sisi....

khadija, asha, vaioleth, nasikia anajigamba eti aja olewa bongo, inatuhusu nini sisi kama ndoa kila mtu anayo kwani wewe ndio wa kwanza kuolewa ama ndio wa mwisho? na kama wanaume kila mtu anao tena wazaidi ya kwako babu hatujaona chochote kile cha wewe vumi kututisha, tafuta wa size yako dada maana kama size hii XXXXXXL haina mpinzani.....

na huyo mwanaume wako kabla hajaja kukuoa huku bongo mtafutie scrub japo ang'ae atoe hizo chunusi zilizomjaa usoni, na mpe lishe anenepe maana hehehehehehehehehehehe halloooo, kama wembamba wa reli treni linapita mbona hajali za treni zinazidi?

unaringa unaringia nini? na wote marehemu watarajiwa?
unaringa wakati tukikuvua nguo unanuka shombo? hehehehehehehe halllooooooo unalo hilo bibi...

na siku yako ya harusi akikisha umekuja na make up kutoka huko uingereza maana na hiyo sura yako kama ya mzee mbona utachekesha,


na kwalolote na chochote vumi unajua pakutupata....

khadija mpenzi nakukaribisha ndani ya bongo nitakuja airport kukuchukua, japo nikupe bia baridi kwa uchovu utakaokuwa nao kwani safari ndefu kutoka UK mpaka Dar...

ROSEMARY MIZIZI.

0 comments:

Post a Comment