Tuesday, May 18, 2010

MWANAUME KUWA NA UUME MKUBWA NI MBAYA?


Jamani nina rafiki yangu mmoja kwa jina namuhifadhi, yeye anabwana mmoja ambaye anauume mkubwa sana kwa upana na hata urefu, sasa kila wanapokutana kimwili na rafiki yangu mwanaume yeye anakuwa ana enjoy sana kufanya mampenzi (kumuingilia mwanamke) lakini yeye rafiki yangu huwa anapata tabu sana kwasababu ya ile size ya jamaa.. sasa mwanamke ananiambia anapata tabu sana kufika kileleni kwasababu jamaa akiingia yeye husikia maumivu wakati wote hamna hata chembe cha starehe.. jamani wenye maoni mnakaribishwa.... maana mimi hata cha kumwambia sijui.

5 comments:

  1. awe mvumilivu .. akiweza atumie pain killers.. au aende hosp kwa ushauri nasaha.. hiyo ni noma

    ReplyDelete
  2. Jamani tumesahau kuwa daima kidole kidogo ndo hukuna sikioni sasa dole gumba tangu lini likakuna muwasho wa sikio.

    Mlio na ulemavu na kubakiwa na madole gumba msife moyo lakini tulio na vidole vidogo tunajisifu na kujivuna navyo maana ndio huleta raha kichezeshapo sawia kunako sikio.

    Doctor FK.

    ReplyDelete
  3. Dah, Mi natamani ningepata mwanaume aliyebarikiwa hivyo. Niliye naye anakibamia kidogooo..
    Yaani hanifikishi kokote kwenye 6x6. Kuna rafiki yangu mmoja wa kiume tuliye graduate wote chuo ndio huwa najiiba naye siku moja moja nje ya mji kuepuka macho kodo. Jamaa amebajaliwa pipe na huwa naenjoy mno

    ReplyDelete
  4. huyu rafiki yako mme wako ana mboo ya urefu gani (inches)?

    ReplyDelete
  5. ufundi tu unatakiwa wakati wa Ku do.

    ReplyDelete